An-nuur Logo 
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
ISSN 0856-3862 Na.159 Rabi' Awal 1419, Julai 24-30, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam
Toleo la Internet


Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita

Agizo la Manispaa kupewa majina ya wanafunzi wa Kikatoliki:

Wasiwasi wazidi kutanda Moro

Na Mwandishi Wetu, Morogoro

Agizo la Ofisi ya Elimu ya Manispaa ya Morogoro linalowaagiza walimu wakuu wa Shule za Msingi watume majina ya wanafunzi Wakatoliki wa darasa la saba, limeendelea kuibua wasiwasi na hisia tofauti miongoni mwa wananchi nchini. ...Endelea
 

Madai ya Ali Ameir kuhusu Chuki yakanushwa

Mama Chuki asema Waziri hakusema kweli

Na Mwandishi Wetu

MADAI ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Ali Ameir aliyoyatoa bungeni hivi karibuni kwamba mwanafunzi Chuki Athumani alikamatwa na makaratasi ya uchochezi yamekanushwa.
...Endelea
 

Vigogo wahusishwa na madawa ya kulevya Z'bar

Na Mwandishi Wetu

Wabunge kutoka Zanzibar wameitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kuwafichua vigogo na watu wazito katika jamii wanashiriki katika biashara ya madawa ya kulevya kuliko kuhangaika na vijana wa mtaani, huku wanaowapa madawa hayo wakiachwa.  ... Endelea


YALIYOMO
 
TAHARIRI 

Maoni yetu: Umakini wa Wabunge unatia wasiwasi 

AGIZO LA MANISPAA KUPEWA MAJINA YA WANAFUNZI WA KIKATOLIKI 
Na Mwandishi wetu, Morogoro 

Madai ya Ali Ameir kuhusu Chuki yakanushwa 
Na Mwandishi wetu 

AN-NUUR  kwenye Internet 

Mwanamuziki Nyota CAT STEVENS asimulia alivyosilimu 

Watakiwa kuacha kuwatuma watoto mitaani 
Na. Kassim Juma 

Kijana wa Kibarbaig aliyejitolea kupigania dini yake 
Na. Ali Njuki 
 
MAKALA: Zanzibar na tamasha la filamu
Na Said Mzee

'Waislamu wenye sisa kali'
Na. Ustaadh A. S. Fundi 

MAKALA: Maisha ya ndoa kwa Muislamu - 2
Ustaadh Khamis Suleyman Nassoro, Usangi, Mwanga - Kilimanjaro

Pongezi hizi za nini?

Mjibuni Mwinjilisti Kusupa msitukane 
Na Paskal Msemakweli

BARUA YA WAZI KWA WABUNGE

Vigogo wahusishwa na madawa ya kulevya Z'bar
Na Mwandishi Wetu

Da’awa Handeni yashika kasi
Na Ibn Muhammad

Kongamano la vijana wa Kiislamu Masjid Nuur Dar
Na Mwandishi Wetu

Mafunzo ya Quran 

Barua za wasomaji 

Mashairi - uzawa wa Mtume (S.A.W)

Habari za Madrasa 

Masomo 

Chakula na Lishe 
 

 
 
Kutoa maoni huhusu kurasa hizi:
Bonyeza hapa
Au
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org
SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book