|
|
|
Zainabu al-Ghazali: Mahakama zilizoundwa kwa misingi ya kadhalimu, hukumu zake pia zitakuwa za kidhalimu. Ninyi ndio mmeshika njia ya uadilifu na ndio mnaostahiki kuongoza. Wewe binafsi kuwa mvumilivu na mwenye subira na wausie wenzio wawe hivyo hivyo. Lazima ustaajabu, ni vipi niliweza kuishi siku sita mfululizo bila kula, kunywa wala kwenda haja! Niliweza kunusurika kwa sababu moja tu, Imani thabit. Imani humuwezesha mtu kukabiliana na misukosuko yote ya madhalimu. Kinachotakiwa ni kujenga mazingira yatakayoondoa ile hali ya kuongozwa na kiongozi jahili, dhalimu na mwenye mamlaka yasiyodhibitika..." Siku umma wa kiislamu utakapozinduka, ndipo maovu yote yatakapofikia
ukomo.... jamii itaondokana na mambo ya kudhalilisha."
Muhammad M. Assaddawy: Hazikuwepo sheria ila kwa madhumuni ya kuyatengeneza mambo yaliyoharibika kati ya watu. Kuzidiana watu kwa ubora ni kwa matendo mema, na kutukuka kwao, ni kwa usafi wa nyoyo zao. Mabadiliko yalipatikana wakati ilipokuwa Qur’an ndiyo mwongozo. Kwa sababu roho inatoka mbinguni ni lazima chakula chake kitoke mbinguni. Msingi wa maisha ‘na nguzo yake’ ni kumwamini Mwenyezi Mungu kwa ukamilifu. Dini ipo kwa ajili ya misingi mitatu: (1) Uhusiano wa mja na Bwana wake. (2) Uhusiano wa mja na nafsi yake. (3) Uhusiano wa mja na wanaadamu wenzake. Hatamu za mbingu na ardhi zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu.
|
YALIYOMO
Tahariri
Urambo wamlilia Profesa Lipumba
Sheikh aridhia Waislamu
kubatizwa
Uongozi Masjid Qadiria waitwa Polisi kuhojiwa Wakazi wa Mbagala Msalabani kuishitaki Tume ya Jiji Akhera ipo, makafiri ni wakadhibishaji
Mdahalo kati ya Waislamu na
Wakristo ni mgumu
Aina ya maudhi yaliyoharamishwa juu ya Muislamu PAROLE: Rais kasusa
au hana ubavu?
Serikali ikithamini kilimo
Umuhimu wa Elimu ya Awali kwa watoto
wadogo - 3
Madrasa Arrijalu Muswallin Damba Ijue Madrasat Fauzia - Kibondo Waislamu Kondoa waanza
kupokea misaada ya ujenzi wa Msikiti, Madrasa
Waislamu Dodoma wasali sala ya Ghaib kwa marehemu Kilima na mkewe Songea kujenga shule ya sekondari Wanafunzi wa Bihawana Dodoma wamshukuru Alhaj Ismail Dawood Mashindano ya kusoma Qur’an yafanyika Kondoa Waislamu wautazame upya mfumo wao wa elimu Ujenzi wa Chuo cha Kiislamu Shamsiya Bereko wakwama Kesi ya kushambulia kituo yaahirishwa tena Polisi waondolewa kimya kimya Mwembechai Msikiti wa Kiwanja cha Ndege wapania kujenga shule Sayansi na Teknolojia
Chakula na lishe
|