|
Na.164 Jamada Awal 1419, Agosti 28 - Septemba 3, 1998 |
|
Hakuna kulazimishwa kuingia katika dini
Aya ya 256 - 257 Ingawa neno lililotumika hapa ni Twaghuut kwa uchache lakini inapewa tafsiri ya wingi kwasababu mtu yoyote ambaye anamkanusha Allah na kuamua kuishi kwa kufuata mfumo wowote wa masiah usio Uislamu basi anakuwa mtumwa si wa Twaghuut mmoja bali Matwaghuut kadhaa wenye maumbile na hali tofuati. Kinara wa Matwaghuut ni Ibilisi ambaye humuandalia mtu huyu namna kwa namna za udanganyifu wenye mvuto wa aina yake. Mbali na Ibilisi, Twaghuut mwingine aliyefichika kwa wegni na nafsi yake mwenyewe binadamu. Nafsi ya binadamu humfanya kuwa mtumwa na matamanio na matashi na kumuongoza kwenye kila aina ya upotofu na njia zilizokwenda upogo. Matwaghuut wengvine ni mke au mume, watoto, jamaa zake, kabila au familia, marafiki au taifa. Aidha Matwaghuu wengine ni viongozi wa kisiasa au kidini na hata serikali yake. Wote hawa ni Matwaghuut kwa mtu mmoja huyu na kila mmoja anamvutia kwenye yale anayoyatamani yeye wakati huyu mtu anabaki kuwa mtumwa anayejidanganya kuwa ataweza kuwaridhisha wote. Ni kwasababu kama hizo Allah alisema kuwa iwapo tutawatii wengi waliomo ardhini watatupoteza aliposema: "Na kama ukwatii wengi katika hawa waliomo ulimwenguni watakupoteza na njia ya Allah. Hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kuzua (tu basi).(6:116). Kinyume na hivyo anaeleza tena: "Sema: "Hii ndiyo njia yangu, ninaita (ninalingania) kwa Allah kwa ujuzi wa kweli - mimi na wanaonifuata......(12:108). Kwa hiyo bado tunatilia mkazo kuwa njia ya Allah (Nuru)
ni moja tu ambaye aliilingania Mtume (s.a.w.) na sasa inalinganiwa wa Waislamu
wa kweli siyo wale wafuasi wa Matwaghuut waliojivika vilemba na
kujipachika madaraka bila ya haki.
|
TAHARIRI: Dawa ya ugaidi si kufanya ugaidi ndani ya ugaidi Bakwata yalaani ubabe wa Marekani
Wanakijiji wawapiga Polisi
Olesiva
Waislamu washinda kesi Same
Wasafiri ATC wadai ndege ya Jeddah
inahujumiwa
Mahojiano kati ya CNN na Bwana Usama bin Ladin Historia ya damu za mashujaa Afghanistan Msikiti wa Wagoma Kigoma wapata
viongozi wapya
Muhadhara wanguruma Masjid
Hijaz
Waislamu waitumie Misikiti
ipasavyo
Mpango wa kudhibiti uzazi utawaangamiza
wengi
Hoja za kutofautisha Yesu na Issa
ni udhaifu, ni uzushi mtupu! - 3
Wanawake wa Kiislamu washiriki
maonyesho ya kilimo
Wanawake wa Kiislamu washauriwa
kupigania haki zao
Africa Muslims Agency: Inavyohudumia
jamii
Kitengo cha Zakkah chasafirisha wanafunzi
Kupinga kifo cha Yesu ni kumpinga
Mungu?
Zanzibar na biashara ya utumwa
Marekani ishitakiwe
MAPENDEKEZO YA KATIBA YA SHIRIKISHO LA TANZANIA - 3
|
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu:
Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtanzania.org