AN-NUUR
Na.156 Rabi' Awal 1419, Julai 4 - 9, 1998
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
Mtoto anyonye maziwa ya mama miaka miwili 

Na Dk. Ali. A. Mzige

WANASAYANSI wa kileo wanasema kuwa mama aliyejifungua amnyonyeshe mwanae kwa kipindi cha miaka miwili. Katika Uislamu hilo si jambo geni bali ni amri ya Mwenyezi Mungu.

Hivi sasa kuna wimbi la kuwahamasisha wanawake duniani kote wawanyonyeshe watoto wao baada ya wanasayansi kubaini kuwa maziwa ya mama yana vitamini A na kinga ya mwili (antibodies) ya kumkinga mtoto asipatwe na maradhi yaliyozoeleka kuwasumbua watoto.

Aidha, kumnyonyesha mtoto mfululizo kwa miaka miwili huweza kumwepusha mtoto na maradhi ya pumu, maradhi ya masikio (otiti media) na homa ya uti wa mgongo (meningitis).

Lakini jingine ni kwamba watoto wanaopata maziwa ya mama kwa muda mrefu wamegundulika kuwa na kiwango cha juu cha akili (High I.Q).

Kwa upande wa mama akinyonyesha kwa muda mrefu humsaidia asishike mimba maana wanawake wengine wakinyonyesha mfululizo hawapati hedhi.

Watu wamepewa shahada za juu (Ph.D) kwa utafiti wao juu ya masuala haya ya kumnyonyesha mtoto, utafiti ambao chimbuko lake ni aya ya Mwenyezi Mungu isemayo, "Na wanawake waliozaa wanyonyeshe watoto wao miaka miwili kamili…". (2:233)
 

Juu 
 

YALIYOMO
 
TAHARIRI 

Maoni yetu:Tusianze kuulizana tena shida yenu nini 

Agizo la Rais Mkapa lapuuzwa:Wazee wa miaka 80 wateseka Gerezani

Wanawake wasema hawatarudi nyuma mpaka dhulma iondoke

Serikali kuzuia mahubiri ya Waislamu, kuvamia Msikiti, kukamata, kudhalilisha na kuua Wananchi ni kuvunja Katiba na Sheria za Nchi

Kujua lugha ya Kiarabu sio kuujua Mwongozo wa Allah
Na Sadick M. Sadick"

Serikali isidhani kuwa Waislamu wa Tanzania wamelala usingizi

Intifada ndio jibu (2)
Na Sheikh Pandukizi Dilunga

Kusema ukweli ni sehemu ya uadilifu
A.S. Chachika

Mafumbo ya imani yabakie ndani ya Makanisa
Na J. Hussein

Majibu kwa Kamara Kusupa

Tamko la Wanawake wa Kiislamu mkoa wa Morogoro kuhusu kadhia ya Mwembechai

Asiye na elimu kwa mujibu wa Biblia
Na Sheikh Bernard P. Nyangasa

TAMTA yaadhimisha miaka 36
Na Masoud Mohamed Said, Tanga

Muumini aliyeachiwa aeleza jinsi Waislamu wanavyoteswa Segerea
Na Muhibu Said

Wakwama kujenga msikiti kwa miaka 30

Habari za Madrasa

Barua 

Mashairi 

Lishe : Mtoto anyonye maziwa ya mama miaka miwili 
Na Dk. Ali. A. Mzige
  

 

 

 
 Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu:
Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita