AN-NUUR 
Na.187 Shawwal 1419, Februari 5 - 11 , 1999 
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
Kumbukumbu ya mauaji Mwembechai
 
 
Kumbukumbu ya mashujaa wa Kiislamu (1998 - 1999)
ALHAMISI: 11/02/1999 kikao cha Maimamu wote wa mkoa wa Dar es Salaam - Masjid Mtambani Kinondoni. 

• Kutazama Kanda ya mauaji ya Mwembechai saa nane na nusu mchana mpaka saa kumi kamili (8:30 - 10:00). 

• Kujadili Kadhia ya Mwembechai saa 10:30 - 12:30 

IJUMAA:12/02/1999 mkutano wa akinamama mara baada ya swala ya Ijumaa. 

• Kutazama kanda ya mauaji ya Mwembechai 

• Kupokea taarifa ya kamati ya akinamama 

JUMAMOSI: 13/02/1999 Siku ya waliouawa Waislamu baada ya adhuhuri mpaka Magharibi 

• Mkutano wa Waislamu wote 

• Kutazama kanda za mauaji 

• Kutafakari mauaji haya na nini kifanyike juu ya hali hii na matatizo mengine kama vile nyumba za WAKFU kuporwa na Wakristo n.k. 

• Maazimio 

• Dua kwa mashujaa wetu 

Mikutano yote itafanyika katika Msikiti wa Mtambani - Kinondoni Dar es Salaam. 

NB: 

Ni muhimu kufika kwa wakati 

Kaimu Katibu
Abdul Ahmad

Khitma ya Mashahid waliouawa Mwembechai
  

Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania (BARAZA KUU) limeandaa Khitma ya kuwaombea dua (Khitma) na kuwakumbuka mashahidi katika Uislamu waliouawa Mwembechai siku ya tarehe 13/2/1998. 

Khitma zifanyika kama ifuatavyo: 

IJUMAA 12/2/1999 Baada ya swala ya Alasiri katika Msikiti wa Tanzania Islamic Centre Morogoro/Kawawa Road Magomeni Mapipa. 

Jumamosi 13/2/1999 baada ya swala ya alasiri katika Msikiti wa Tungi Temeke Mtaa wa Ndalala. 

Jumapili 14/2/1999 baada ya swala ya alasiri katika Msikiti wa Ijumaa Mtaa wa Arusha Ilala. 

TUJITOKEZE KWA WINGI WAKE KWA WAUME ILI KULITIA NGUVU DUA
Wabillahi Tawfiq
Sheikh Omar M. Samata
Kaimu Katibu Mkuu
BARAZA KUU 

Juu 
 

YALIYOMO 
  

Tahari 
Mauaji ya Mwembechai; Mh. Rais apewe kanda

Matokeo ya mitihani darasa la saba serikali ieleze: Je, Waislamu ni taahira au kuna agenda ya siri

Hijab ivaliwe shuleni

Wenye siasa za kikaburu wasimyumbishe Rais

Hatuko tayari kuruhusu viwanja viporwe  -   Manyema

Maoni yetu
Kauli ya Waziri Mkuu Bungeni: Tumsikilize nani?

DONDOO ZA KISAIKOLOJIA: PEDOPHILIA

Mjue Usama bin Ladin -3

Uislamu na Mazingira katika Umoja wa Mataifa
Na Dk.  Wahid

Barua ya wazi kwa Rais Mkapa

Barua za Mtume (s.a.w.) za Jihad katika Internet
Na. Zituzzaman Hoque

Kutoka magazeti ya zamzni

Rais Mkapa atekeleze hadi yake kwa hadhari
J.R. Msuya, Moshi

Mashirika ya Dini yaelekeze misaada vijijini
Na KAWELE  SAIDI 

Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma

Ni serikali ipi anayoiwakilisha Sumaye
Na Abu Salim

Sehemu ya maelezo ya Waziri Mkuu bw. Frederick Sumaye bungeni

Zanzibar ni nchi au mkoa?.
Na SALUM ALI 

Sheikh Bafadhil aamuru kusimamishwa shughuli za African Muslim Agency Moro

Vijana Arusha njooni mnione - Alhaj Mollel

Waislamu Korelo wazama kwenye ushirikina

Waislamu Hanang’ wajenga Msikiti

Sayansi na Teknolojia 
[Jifunze ‘Kubana’ Majalada] 

Masomo ya Kiislam 

Barua za Wasomaji 

Chakula na Lishe 
[Ni hatari kuwaambia wananchi wasichague chakula] 

Kumbukumbu ya mauaji Mwembechai
 
 


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita