An-nuur Logo 
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania ISSN 0856-3862 Na.174 Rajab 1419, Novemba 6 - 12, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam

Toleo la Internet



 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita

Serikali yakumbushwa kujiunga OIC
Na. Mwandishi wetu

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekumbushwa kutekeleza ahadi iliyoitoa huko nyuma ya kujiunga na Shirika la OIC.

Akiwasilisha taarifa ya Baraza Kuu katika kongamano la Waislamu lililofanyika Jumapili Novemba 1, 1998, Katibu Mkuu wa Baraza hilo Sheikh Abas Kilima alisema kwamba ni muda mrefu sasa tangu Serikali iahidi kujiunga na OIC kwa hiyo kwa niaba ya Baraza lake angeikumbusha Serikali kutekeleza ahadi hiyo. Endelea...
 
 

Kesi ya Waislamu Mwembechai:
Mashahidi washindwa 

SERIKALI haijathibitisha mahakamani ukweli wa tuhuma yake dhidi ya Waislamu kumi miongoni mwa Waislamu kadhaa inayowashitaki kwamba walihusika na ghasia za Mwembechai hapo Februari 29, mwaka huu, ambapo Waislamu wawili waliuliwa na polisi kwa risasi na wengine wengi kujeruhiwa. Endelea...


YALIYOMO
 
TAHARIRI 
Tuacheni na njaa yetu msituongezee silaha

Serikali yakumbushwa kujiunga OIC
Na Mwandishi wetu

Polisi walizingira nyumba yangu usiku wa manane - Sheikh Mbukuzi

Wafungwa waomba Futari na Vikoi

Macho ya shutuma
Na Abu Halima Sa Changwa

Hoja pofu
Na Abu Halima Sa Changwa

Tafuteni ufalme wa kisiasa

Ubaguzi katika mfumo wa elimu nchini: Chuo Kikuu chasikia kilio cha wanawake

'Vichupi' vya nini Kimiti?
Na. Said Rajab

Mjadala wa Katiba na haki za Waislamu
Na Masoud Mohammed Mbogo

Mdahalo kati ya Waislamu na Wakristo- 3
Na Nandenga wa Mkomidachi

Waliochukuliwa utumwa Uarabuni
Na Hassan Omar

Madrasatul Maamury Islamiya

Teknologia: Jifunze Kuunganisha Kompyuta (4)
Na Hassan Omar

Kuweni wabunifu muinue taaluma - Wito

TVZ na kipindi cha 'Wasemavyo'

Kesi ya Waislamu Mwembechai: Mashahidi washindwa 

Wanyimwa fursa ya kuswali Ijumaa Mwanza

Shule ya Bakwata yafungiwa Tanga

Mafunzo ya Qur'an 
Shetani anawaogopesha wenye mali kutoa

Barua za wasomaji 
[Ujumbe rasmi kwa Waislamu wa Tanzania] [Uislamu hauruhusu majivuno!] [Utabiri wa kuibuka Uislamu] [Tusome Maulidi ya Mtume (s.a.w.) kwa Kiswahili] [Wenye kuhadaika na dunia wasiongoze Waislamu] [Je, hii ni haki?]

Masomo ya dini ya Kiislam 
[Historia: Form IV: Uendeshaji wa Serikali ya Kiislamu wakati wa Makhalifa] 

Chakula na lishe
[Lishe na kansa ya titi]

Mashairi
[Maovu nitakemea - 1] [Nawapenda Twalaban]

Matangazo

 

 
Kutoa maoni huhusu kurasa hizi: Bonyeza hapa 
Au 
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org 
SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book