An-nuur Logo 
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania ISSN 0856-3862 Na.173 Rajab 1419, Oktoba 30 - Novemba 6, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam Toleo la Internet



 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita


Wasomi watetea haki ya wananchi kumiliki ardhi

Wasomi na Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameelezea haja ya kuangalia upya suala la umiliki wa ardhi kuwa mikononi mwa Mamlaka Kuu pekee (Executive) na wananchi wengine kuwa kama kwamba hawana haki yoyote katika ardhi zao za asili.

Wamesema mwananchi leo anayemiliki ardhi kwa taratibu za mila hana haki na anaweza kuhamishwa wakati wowote na akihurumiwa sana alipwe fidia ya mazao na sio ardhi

Hayo yalisemwa na wasomi hao kufuatia tukio la wananchi wa Nzasa kuhamishwa kwenye makazi na mashamba yao bila hata ya fidia. Endelea...
 

Serikali imeweka rekodi ya kutisha – Sheikh Salim

Na Mwandishi Wetu

KITENDO cha serikali kuchoma moto mashamba na vyakula vya wananchi wa Nzasa kimemuhuzunisha kila mtu aliye japo na chembe ya ubinadamu katika nafsi yake. 

Hayo yameelezwa katika khotuba ya Ijumaa katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Oktoba 23, 1998.

Katika khotuba yake, Khatibu Sheikh Salim Khotour alisema kwamba serikali imeweka rekodi ya kutisha na ya kipekee kwa kufanya vitendo ambavyo dunia nzima huvinasibisha na ama wahuni au magaidi. Endelea...


YALIYOMO
 
TAHARIRI 
Wakipewa fursa watainusuru nchi

Wasomi watetea haki ya wananchi kumiliki ardhi

Serikali izungumze na wananchi–Mzee Gonga

Akina mama watakiwa kushikamana na dini yao

Maoni
Serikali inaWhite Paper:  Wananchi mna nini?

Dondoo za Saikolojia: Hoja kengeza
Na Abu Halima Sa Changwa

Makala ya mtangazaji
Khatamy sio Gorbacheiv!!!

Makala
Malipo ya fadhila
Na Mohamed Saleh

Tanzania tuna sera gani kuhusu kanda
Na Abu Abdullah, Tanga

Mdahalo kati ya Waislamu na Wakristo- 2
Na Nandenga wa Mkomidachi

Teknologia
Jifunze Kuunganisha Kompyuta (3)
Na Hassan Omar

Makala na habari
'Usiiparamie ovyo Theolojia'
Na Charles Kamuhabwa, DSA Mtwara

Mwinyimkuu kufanya sensa ya waumini Magomeni
Na Jamillah Nassoro

Same tusilimu upya

Wazazi Mwanza wahimizwa kuwashonea watoto wao Hijab
Na Idd Katimba, Mwanza

Tuwaige Wangazija, 'tutafanikiwa'
Mwandishi: Maalim Bassalah

Serikali imeweka rekodi ya kutisha – Sheikh Salim
Na Mwandishi Wetu

Muhadhara waunguruma Geita
Na Hussein Abdallah, Geita

Fuateni Sharia ya Allah - Sheikh
Na Badru Kimwaga

Wanawake wa Kiislamu Mburahati wahimizwa kutafuta elimu

Mafunzo ya Qur'an
Vijana wa pangoni

Barua za wasomaji 
[Kufuata mwongozo wa Allah tu, ndiyo tiba ya ukimwi] [Bakwata acheni vurugu] [Ujenzi wa shule ya sekondari Maere – Tanga] [Ahsante AN-NUUR] [Mfano gani huu?] [An-nuur chunguzeni makala]

Masomo ya dini ya Kiislam 
[Historia: Form IV: Uendeshaji wa Serikali ya Kiislamu wakati wa Makhalifa] [Evolution of Muslim Law] 

Chakula na lishe
Chakula ni silaha ya kukabiliana na changamoto ya kansa
Na Mujahid Mwinyimvua
 

 
Kutoa maoni huhusu kurasa hizi: Bonyeza hapa 
Au 
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org 
SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book