|
|
SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na Mjumbe wa Kamati ya Maulamaa Taifa,
Sheikh Omar Bafadhil ameitaka Bakwata kuwa mtetezi wa Waislamu badala ya
kuwa mbali nao. ... Endelea
Hatimaye Mzee Katambo, Chata waachiwa
WAZEE wawili waliowekwa rumande kwa miezi kadhaa wameungana na familia zao baada ya AN-NUUR kufichua kupuuzwa agizo la Rais kulikofanywa na baadhi ya wahusika. Endelea
TAHARIRI
Maoni yetu: Prof. Juma Kapuya, vipi Muislamu usijue agenda za Waislamu? Hatimaye Mzee Katambo, Chata waachiwa
Sheikh Bafadhil aitaka Bakwata iwe mtetezi wa Waislamu
Makala: Uinjilisti wa Mbuni haufai
Mussa Katambo: Mzee aliyewekwa rumande kwa kuandaa mihadhara Makala: Elimu ya ngono yapenyezwa tena Zanzibar
Arusha wasema: Hongera Mhe. KK kwa kuwa mfano mwema
Wanawake Songea kuandaa maonesho
Kesi ya mgogoro wa Ardhi
AN-NUUR marufuku gerezani?
Waislamu Karagwe wadai kusalishwa na imamu
asiyejua kutawadha
Ofisi mpya za Rabita
|
|
|