|
|
| Home |
Waraka wa Abu AzizKATIKA hali isiyo ya kawaida tumelazimika kuwaletea toleo maalum lenye Waraka uliotumwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Muislamu anayeitwa Abu Aziz.Abu Aziz ametoa Wakara huo kwa lugha ya Kiingereza baada ya kushuhudia mauaji ya Waislamu pale Mwembechai na madhila yaliyofuatia baadaye. Waraka huo ambao hivi sasa unasomwa dunia nzima kupitia Internet una ujumbe mzito. Usome mwenyewe: Bonyeza hapa. Bonyeza hapa kwa kusoma nakala ya Kiingereza |
Maoni yetu:
Unafiki si suala la wakati fulani
Historia ya harakati za ukombozi wa Kashmir Sheikh wa Wilaya Same ahimiza Waislamu kushiriki tamasha Sheikh awataka wanawake wajistiri Madrasat Al-Hujuun washerehekea
mwaka mpya
|
| An-nuur Home | Links | Islam Tanzania | Matoleo yaliyopita |