An-nuur Logo 
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania ISSN 0856-3862 Na.171 Jamadul Akhir 1419, Oktoba 16 - 22, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam
Toleo la Internet



 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita

Kuchomwa moto nyumba za wananchi:

Nzasa wamtaka Mkapa awaonyeshe pa kwenda

Na Mwandishi Wetu, Nzasa

Wananchi waliochomewa nyumba zao katika kijiji cha Nzasa wamesema wanayaelekeza macho yao kwa. Rais Benjamin William Mkapa kwamba ndiye atajua wapi awapeleke.

Wamesema kwamba wao ni wakazi wa Nzasa toka enzi na enzi kabla hata eneo la Kazimzumbwi kutangazwa kuwa ni msitu. Endelea...

 
Mishikaki ya nguruwe Moshi yachomwa mbele ya Msikiti 

Na Mwandishi Wetu

NYAMA ya nguruwe imekuwa ikichomwa na kuchemshwa hatua chache kutoka Msikiti wa Suni Mjini Moshi na kuuziwa wapita njia.

Vibanda viuzavyo nyama hiyo vipo karibu na Ofisi za Mabasi ya Shabaha na imekuwa ni kero kubwa kwa wananchi kutokana na harufu hiyo ya Mishikaki ya nguruwe. Lakini ukaribu wa msikiti kumefanya kero iwe kubwa zaidi. Endelea...


YALIYOMO
 
TAHARIRI 
Serikali iwahurumie wananchi wake 

KUCHOMWA MOTO NYUMBA ZA WANANCHI: Nzasa wamtaka Mkapa awaonyeshe pa kwenda 
Na Mwandishi Wetu, Nzasa 

Mishikaki ya nguruwe Moshi yachomwa mbele ya Msikiti 
Na Mwandishi Wetu 

MAONI YETU: 
Je; ni halali kuchoma Kidungu cha mtu? 

Upimaji huu mpya ni wa nini 
Na Mwandishi Wetu 

TANGAZO LA HIFADHI YA MSITU WA KAZIMZUMBWI 

Ndoa si lengo, ni wasila wa kufikia lengo 
Na Bi. Zuhura Tajiri, Shinyanga 
 
Teknologia:
Jifunze kuunganisha Kompyuta
Na Hassan Omar

Makala:
Nani atakayewahoji Waheshimiwa hawa

Goda Muslim School, Manzese
Na Mwandishi Wetu

Utabiri sahihi wa kuibuka kwa Uislamu
Na Sheikh Bernard P. Nyangasa

Historia ya mgogoro wa Nzasa
Na Mwandishi Wetu

DUMT watoa msaada kwa walioathirika Nzasa
Na Mwandishi Wetu

UCHOMAJI NYUMBA NZASA: Wafadhili wana mchango gani?
Na Mwandishi Wetu

Mafundisho ya Quran 
Kutoa pasipo masimango 

Barua za wasomaji 
[Tuwe na elimu ya maisha ya ndoa kabla ndoa] [Katiba isiwe ‘Kakakuona’] [Dini ni nyingi, lakini ya haki ni Uislamu] [Mkoa wa Shinyanga upatiwe shule ya sekondari ya Kiislamu] [Popatlal hijab ziko wapi na Waislamu wako wapi?] [Nguruwe katika basi la Metro] 

Masomo ya dini ya Kiislam 
[Historia - Form IV: Maoni tofauti kuhusiana na  uchaguzi wa Khalifa wa kwanza] [Qur’an Form V: Revelation - Approach to the Qur’an] 

Chakula na Lishe 
Virutubisho vinavyopatikana katika vyakula
 

 
Kutoa maoni huhusu kurasa hizi: Bonyeza hapa 
Au 
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org 
SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book